Saturday, 1 October 2011

MAATHAI VERSUS THE IMF AND WORLD BANK


Professor Wangari Maathai (Nobel laureate and environment‎alist) was born in the central highlands of Kenya in 1940.

Back in the 1940s, her small village had clean water, rich soils, rich forests and plenty of food.

"It was heaven. We wanted for nothing," she said.

"Now the forests have come down, the land has been turned to commercial farming, the tea plantations keep everyone poor, and the economic system does not allow people to appreciate the beauty of where they live."


Maathai was educated by Catholic nuns. (environment‎)

Maathai said: "After my education by the nuns, I emerged as a person who believed that society is inherently good and that people generally act for the best."

Maathai won a scholarship to study in the US, as part of the 'Kennedy airlift' in which 300 Kenyans - including Barack Obama’s father - were chosen to study at American universities in 1960.

After further study in Germany, she returned to a newly independent Kenya in 1966.

Her early work as a vet took her to some of Kenya's poorest areas.

She saw first-hand the damage that was being done to the environment.

In 1977, she set up the Green Belt movement.

She became critical of politicians in Kenya, the World Bank, the IMF, Britain and other former colonial powers.

Before the 1990s, the Mau forest (above) was a protected area. "But then senior officials in President Daniel arap Moi's government grabbed large plots of the highly fertile land for themselves." Website for this image

What began as a few women planting trees became a network of 600 community groups.

They looked after 6,000 tree nurseries, which were often supervised by disabled and mentally ill people in the villages.

By 2004, more than 30 million trees had been planted, and the movement had branches in 30 countries.

In Kenya, the Green Belt movement has become an agricultural advice service, a community regeneration project and a job-creation plan.

In the early 1990s, Maathai set up Mazingira, the Kenyan Green Party.

Maathai became a junior environment minister between January 2003 and November 2005.

She died in September 2011. (Nobel laureate and environment‎alist)

DK KAWAMBWA AFUNGA KONGAMANO LA KIMATAIFA LA UTAFITI WA USHIRIKA BARANI AFRIKA.

 Umakini katika kufuatilia hotuba ya mgeni rasmi
 Washiriki katika hafla hiyo
 Waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi Dk Shukuru kawambwa akiongozwa na mwenyeji wake mkuu wa chuo kikuu kishiriki cha ushirika na biashara,Moshi,Prof Faustine Bee wakielekea ukumbini.
 Mkuu wa chuo cha MUCCoBS akifanya utambulisho kwa mgeni rasmi wakati wa kufunga kongamano la kimataifa la utafiti wa ushirika barani Afrika lilifanyika chuoni hapo.
 Waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi Dk Shukuru Kawambwa aliyekuwa mgeni rasmi katika kongamano la kimataifa la utafiti wa ushirika barani Afrika lililofanyika chuoni hapo akitoa hutuba wakati wa kufunga kongamano hilo.
 Viongozi wa serikali ya wanafunzi wa chuo kikuu kishiriki cha ushirika na biashara,Moshi wakiwa katika picha ya pamoja na waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi mara baada ya kufunga kongamano la a kimataifa la utafiti wa ushirika barani Afrika.
Wataalamu wa IT katika chuo kikuu kishiriki cha ushirika na biashara (MUCCOBS) waliofanikisha mawasiliano katika kongamano hilo kutoka shoto ni Johnes Mwita,Germinus George,George Matto na Abswaidi Ramadhani.


Na Dixon Busagaga wa globu ya jamii Moshi.

Serikali imesema imeanza kuchukua hatua za kukabiliana na changamoto zinazozikabili sekta mbali mbali za kiuchumi, kwa kuhakikisha inawawezesha watafiti kuzibaini changamoto hizo na kuainisha njia zitakazosaidia kuzikabili.

Rai hiyo imetolewa leo na waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi stadi, Dk. Shukuru Kawambwa, alipokuwa akizungumza kwenye ufungaji wa kongamano la kimataifa la utafiti wa ushirika barani Afrika, lililofanyika kwa siku tatu katika chuo kikuu cha Ushirika na biashara-MUCCoBS mjini Moshi.

Dk. Kawambwa amesema katika utekelezaji huo serikali imetenga fedha kiasi cha shilingi bilioni 30 kwa mwaka wa fedha wa 2011/2012, kwa ajili ya shughuli za utafiti, zitakazoiwezesha Tanzania kupiga hatua kiuchumi na kijamii.

Katika hatua nyingine waziri Kawambwa, ameupongeza uongozi wa chuo kikuu cha Ushirika kwa kuwakutanisha wadau wa masuala ya utafiti wa ushirika kutoka nchi mbali mbali barani Afrika ambapo wameweza kubadilishana uzoefu na kuainisha njia za kukabiliana na changamoto zinazoikabili sekta hiyo.

Naye mkuu wa chuo hicho Profesa Faustine Bee, amesema kongamano hilo pia ni sehemu ya maandalizi ya maazimio kwa ajili ya kongamano la ushirika la Umoja wa Mataifa litakalofanyika mwakani, kuandaa mipango
ya kuendeleza sekta ya ushirika barani Afrika kwa kuzitumia tafiti mbali mbali.

Kongamano hilo la kwanza kufanyika barani Afrika limehudhuriwa na washiriki wapatao 200, kutoka nchi za Afrika.

It's in the details






[source, Streetsfsn]