
 Naibu Waziri Kiongozi wa Zanzibar Mh. Ali Juma Shamhuna akiwa na zawadi ya jezi aliyopewa na mwenyekiti wa Simba Ismail Aden Rageh wakati wa Simba Day uwanja wa Uhuru leo

 Uzinduzi wa uzi mpya wa Simba kwa msimu mpya ujao 

 Naibu Waziri Kiongozi wa Zanzibar Mh. Ali Juma Shamhuna akimpatia tuzo meneja wa kilaji cha Kilimanjaro Lager George Kavishe kwa kampuni yake ya TBL inayodhamini Simba na Yanga

 Wachezaji wa Simba na Express ya Uganda wakiingia 
uwanjani kumenyana. Matokeo yalikuwa 0-0

 Wanenguaji wa Twanga wakipepeta

 Twanga Pepeta wakiwajibika siku ya Simba Day

 Kiduku na Twanga pepeta...

 Twanga wakijimwayamwaya uwanjani

 Mshambuliaji wa Sayari (shoto) akijaribu kumpita mchezaji wa Simba Queens

 Timu ya wanawake ya Sayari

 Simba Queens

 Simba Queens wakipiga jalamba

 Juu na chini ni mchezo kati ya Simba SC na Express ya Uganda. Matokeo ni bao 0-0 
 
No comments:
Post a Comment