Saturday 18 February 2012

JK AONGOZA MATEMBEZI YA HARAMBEE KUCHANGIA UJENZI WA HOSPITALI YA KINAMAMA YA BAOBAB ITAYOENDESHWA NA CCBRT

 Rais Jakaya Kikwete wa nne akiwasili kushiriki matembezi ya kuchangia shilingi Bilioni moja kwa ajili ya ujenzi wa Wadi ya akina mama katika hospitali ya CCBRT leo asubuhi jijini Dar es salaam, matembezi hayo ya kilomita mbili na nusu yameanzia katika hoteli ya Golden Tulip na kumalizika katika Hospitali ya CCBRT Mikocheni, matembezi hayo yameandaliwa kwa pamoja na kampuni ya Vodacom Tanzania, Vodafone pamoja na hospitali ya CCBRT katika kampeni hiyo inayotwa Find your Moyo. Pichani Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Hospitali hiyo Dr Wilbroad Slaam akimtambulisha JK kwa  Erwin Telemans Mkurugenzi mtendaji wa CCBRT, Rene Meza Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya CCBRT.
 Wafanyakazi wa CCBRT wakimlaki JK ambaye kaongozana na Dr Wilbroad Slaa
 JK akipokea zawadi ya picha yenye kuonesha mama na mtoto
 JK akipata maelezo ya mafanikio ya CCBRT katika kupambana na Fistula
 JK akisalimiana na mmoja wa wafanyakazi wa CCBRT
 JK akitmbulishwa kwa mmoja wa viongozi wa hospitali hiyo
 JK akisalimiana na balozi
 JK akipata maelezo toka kwa Mkurugenzi juu ya juhudi za kupambana na Fistula
 JK akipelekwa kutembelea wodi
 JK akisalimiana na watoto wenye matatizo mblaimbali































 Rais Jakaya Kikwete wa nne kutoka kulia akishiriki katika matembezi ya kuchangia shilingi Bilioni moja kwa ajili ya ujenzi wa jengo la akina mama wenye matatizo ya ugonjwa wa Fistula katika hospitali ya CCBRT leo asubuhi jijini Dar es salaam, matembezi hayo yameanzia katika hoteli ya Golden Tulip na kumalizika katika Hospitali ya CCBRT Mikocheni, matembezi hayo yameandaliwa kwa pamoja na kampuni ya Vodacom Tanzania, Vodafone pamoja na hospitali ya CCBRT Kampeni hiyo inaitwa (Finde your Moyo).
Katika picha kutoka kulia ni Erwin Telemans Mkurugenzi mtendaji wa CCBRT, Rene Meza Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya CCBRT Bw. Wilbroad Slaa na kushoto kwa Rais ni Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dr. Hadji Mponda wakishiriki katika matembezi hayo leo asubuhi.


 Rais Jakaya Kikwete wa nne kutoka kulia akishiriki katika matembezi ya kuchangia shilingi Bilioni moja kwa ajili ya ujenzi wa jengo la akina mama wenye matatizo ya ugonjwa wa Fistula katika hospitali ya CCBRT leo asubuhi jijini Dar es salaam, matembezi hayo yameanzia katika hoteli ya Golden Tulip na kumalizika katika Hospitali ya CCBRT Mikocheni, matembezi hayo yameandaliwa kwa pamoja na kampuni ya Vodacom Tanzania, Vodafone pamoja na hospitali ya CCBRT Kampeni hiyo inaitwa (Finde your Moyo).
Katika picha kutoka kulia ni Erwin Telemans Mkurugenzi mtendaji wa CCBRT, Rene Meza Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya CCBRT Bw. Wilbroad Slaa na kushoto kwa Rais ni Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dr. Hadji Mponda wakishiriki katika matembezi hayo leo asubuhi.

 Rais Jakaya Kikwete wa nne kutoka kulia akishiriki katika matembezi ya kuchangia shilingi Bilioni moja kwa ajili ya ujenzi wa jengo la akina mama wenye matatizo ya ugonjwa wa Fistula katika hospitali ya CCBRT leo asubuhi jijini Dar es salaam, matembezi hayo yameanzia katika hoteli ya Golden Tulip na kumalizika katika Hospitali ya CCBRT Mikocheni, matembezi hayo yameandaliwa kwa pamoja na kampuni ya Vodacom Tanzania, Vodafone pamoja na hospitali ya CCBRT Kampeni hiyo inaitwa (Finde your Moyo).
Katika picha kutoka kulia ni Erwin Telemans Mkurugenzi mtendaji wa CCBRT, Rene Meza Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya CCBRT Bw. Wilbroad Slaa na kushoto kwa Rais ni Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dr. Hadji Mponda wakishiriki katika matembezi hayo leo asubuhi.





No comments:

Post a Comment