Mlimani Park Band wana Sikinde wakiwa jukwani usiku wa kuamkia leo katika mpambano wao na watani wa Jadi Msondo Ngoma katika onesho maalumu lisilokuwa la mashindano
Hassan Rehani Bitchuka akiongoza fowadi ya Sikinde huku akizongwa na mashabiki alipokuwa akiimba kibao chake 'Hiba'
"....Fatuumaaaaaaaaaaaa..... Nasafiri mamaaaaaaaaaaaaaa.....Baki salamaaaaaaaaaaaa oooooooo oooooooo ooooooooooooooooo








No comments:
Post a Comment