Saturday 5 March 2011

BAADHI YA MATOKEO YA MECHI ZILIZOPITA ZA WATANI WA JADI SIMBA SC NA YOUNG AFRICANS FC TOKA ENZI HIZO

JUNI 7, 1965

Yanga v Sunderland (Simba)

1-0

MFUNGAJI: Mawazo Shomvi dk. 15).

JUNI 3, 1966

Yanga v Sunderland (Simba)

3-2

WAFUNGAJI:

Yanga: Abdulrahman Lukongo dk. 54, Andrew Tematema dk 67, Emmanuel Makaidi dk. 83. Sunderland: Mustafa Choteka dk 24, Haji Lesso dk. 86.

NOVEMBA 26, 1966

Sunderland v Yanga

1-0

MFUNGAJI: Mustafa Choteka dk. 44.

MACHI 30, 1968

Yanga v Sunderland

1-0

MFUNGAJI: Kitwana Manara dk. 28.

JUNI 1, 1968

Yanga v Sunderland

5-0

WAFUNGAJI:

Maulid Dilunga dk. 18 (penalti), Dilunga dk. 43, Salehe Zimbwe dk. 54, Zimbwe dk. 89, Kitwana Manara dk. 86.

MACHI 3, 1969

Yanga v Sunderland

(Yanga ilipewa pointi za chee na ushindi wa mabao 2-0, baada ya Sunderland kugoma kuingia uwanjani).

JUNI 4, 1972

Yanga v Sunderland

1-1

WAFUNGAJI:

Yanga: Kitwana Manara dk. 19,

Sunderland: Willy Mwaijibe dk. 11.

JUNI 18, 1972

Yanga v Simba

1-0

MFUNGAJI: Leonard Chitete.

JUNI 23, 1973

Simba v Yanga

1-0

MFUNGAJI: Haidari Abeid 'Muchacho' dk. 68.

AGOSTI 10, 1974

Yanga v Simba

2-1

WAFUNGAJI:

Yanga: Gibson Sembuli dk. 87, Sunday Manara dk. 97.

Simba: Adam Sabu dk. 16.

(Mechi ya kihistoria iliyochezwa Uwanja wa Nyamagana mjini Mwanza).

JULAI 19, 1977

Simba v Yanga

6-0

WAFUNGAJI:

Abdallah Kibadeni dk. 10, 42 na 89, Jumanne Hassan 'Masimenti' dk. 60 na 73, Selemani Sanga alijifunga dk. 20.

OKTOBA 7, 1979

Simba v Yanga

3-1

WAFUNGAJI:

Simba: Nico Njohole dk. 3, Mohammed Bakari 'Tall' dk. 38, Abbas Dilunga dk.72. Yanga: Rashidi Hanzuruni dk. 4.

OKTOBA 4, 1980

Simba v Yanga

3-0

WAFUNGAJI: Abdallah Mwinyimkuu dk. 29, Thuwein Ally dk. 82, Nico Njohole dk. 83.

SEPTEMBA 5, 1981

Yanga v Simba

1-0

MFUNGAJI: Juma Hassan Mkambi dk. 42

APRILI 29, 1982

Yanga v Simba

1-0

MFUNGAJI: Rashid Hanzuruni dk 2.

SEPTEMBA 18, 1982

Yanga 3-0 Simba

WAFUNGAJI:

Omar Hussein dk. 2 na 85, Makumbi Juma dk. 62.

FEBRUARI 10, 1983

Yanga v Simba.

0-0

APRILI 16, 1983

Yanga v Simba

3-1

WAFUNGAJI:

Yanga: Charles Mkwasa dk. 21, Makumbi Juma dk. 38, Omar Hussein dk. 84, Simba; Kihwelu Mussa dk. 14.

SEPTEMBA 10, 1983,

Yanga v Simba

2-0

WAFUNGAJI: Lila Shomari alijifunga dk. 72, Ahmed Amasha dk. 89.

SEPTEMBA 25, 1983

Yanga v Simba

1-1

WAFUNGAJI:

Yanga: Makumbi Juma dk. 75,

Simba: Sunday Juma dk. 72.

MACHI 10, 1984

Yanga v Simba

1-1

WAFUNGAJI:

Yanga: Omar Hussein dk. 72.

Simba: Idd Pazi kwa penalti dk 20.

JULAI 14, 1984

Yanga v Simba

1-1

WAFUNGAJI:

Yanga: Abeid Mziba dk. 39.

Simba: Zamoyoni Mogella dk. 17

MEI 19, 1985

Yanga v Simba

1-1

WAFUNGAJI:

Yanga: Omar Hussein dk. 6

Simba: Mohammed Bob Chopa dk. 30.

AGOSTI 10, 1985

Yanga v Simba

2-0

MACHI 15, 1986

Yanga v Simba

1-1

WAFUNGAJI:

Yanga: Abeid Mziba dk. 44

Simba: John Hassan Douglas dk. 20.

AGOSTI 23, 1986

Simba v Yanga

2-1

WAFUNGAJI:

Simba: Edward Chumila dk. 9, Malota Soma dk. 51

Yanga: Omar Hussein dk. 5.

JUNI 27, 1987

Yanga v Simba

1-0

MFUNGAJI: Edgar 'Fongo' Mwafongo dk. 36.

AGOSTI 15, 1987

Yanga v Simba

1-0

MFUNGAJI: Abeid Mziba dk. 14.

APRILI 30, 1988

Yanga v Simba

1-1

WAFUNGAJI:

Yanga: Justin Mtekere dk. 28

Simba: Edward Chumila dk. 25.

JULAI 23, 1988

Simba v Yanga

2-1

WAFUNGAJI:

Simba: Edward Chumila 21, John Makelele dk. 58

Yanga: Issa Athumani dk. 36.

JANUARI 28, 1989

Yanga v Simba

2-1

WAFUNGAJI:

Yanga: Issa Athumani dk. 4, Abeid Mziba dk. 85

Simba: Malota Soma dk. 30.

MEI 21, 1989

Yanga v Simba

0-0

MEI 26, 1990

Simba v Yanga

1-0

MFUNGAJI: Mavumbi Omari dk 6.

OKTOBA 20, 1990

Yanga v Simba

3-1

WAFUNGAJI:

Yanga: Makumbi Juma dk 33, Thomas Kipese dk. 82, Sanifu Lazaro dk. 89

Simba: Edward Chumila dk. 58.

MEI 18, 1991

Yanga v Simba

1-0

MFUNGAJI: Said Sued 'Scud' dk. 7.

AGOSTI 31, 1991

Yanga v Simba

1-0

MFUNGAJI: Said Sued Scud.

OKTOBA 9, 1991

Yanga v Simba

2-0

WAFUNGAJI: Athumani China dk. 3, Abubakar Salum 'Sure Boy' dk. 54.

NOVEMBA 13, 1991

Yanga v Simba

2-0

APRILI 12, 1992

Yanga 1-0 Simba

MFUNGAJI: Kenneth Mkapa dk. 10.

SEPTEMBA 26, 1992

Simba v Yanga

2-0

OKTOBA 27, 1992

Simba v Yanga

1-0

MFUNGAJI: Damian Morisho Kimti.

MACHI 27, 1993

Yanga v Simba

2-1

WAFUNGAJI:

Yanga: Said Mwamba Kizota dk. 47 na 57

Simba: Edward Chumila dk. 75.

JULAI 17, 1993

Simba v Yanga

1-0

MFUNGAJI: Dua Said dk. 69.

SEPTEMBA 26, 1993

Simba v Yanga

1-0

MFUNGAJI: Dua Said dk. 13.

NOVEMBA 6, 1993

Simba v Yanga

0-0

FEBRUARI 26, 1994

Yanga v Simba

2-0

MFUNGAJI: Mohammed Hussein 'Mmachinga' na James Tungaraza 'Boli Zozo'.

JULAI 2, 1994

Simba v Yanga

4-1

WAFUNGAJI:

Simba: George Masatu, Athumani China, Madaraka Selemani, Dua Saidi Yanga; Constantine Kimanda.

NOVEMBA 2, 1994

Simba v Yanga

1-0

MFUNGAJI: Madaraka Selemani dk. 71

NOVEMBA 21, 1994

Simba v Yanga

2-0

WAFUNGAJI: George Lucas dk. 18, Madaraka Selemani dk. 42.

MACHI 18, 1995

Simba v Yanga

0-0

OKTOBA 4, 1995

Simba v Yanga

2-1

WAFUNGAJI:

Simba: Said Mwamba 'Kizota' dk. 70, Mchunga Bakari dk. 79,

Yanga: Mohamed Hussein ÔMmachingaŐ dk. 40.

FEBRUARI 25, 1996

Yanga v Simba

2-0

SEPTEMBA 21, 1996

Yanga v Simba

0-0

OKTOBA 23, 1996

Yanga v Simba

1-0

MFUNGAJI: Mohamed Hussein 'Mmachinga' dk. 46

NOVEMBA 9, 1996

Yanga v Simba

4-4

WAFUNGAJI:

Yanga: Edibilly Lunyamila (penalti) dk. 28, Mustafa Hozza alijifunga dk 64, Said Mwamba 'Kizota' dk. 70, Sanifu Lazaro dk. 75.

Simba: Thomas Kipese dk. 7, Ahmed Mwinyimkuu dk. 43, Dua Saidi dk. 60 na 90.

(Mechi hii ilichezwa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha)

APRILI 26, 1997

Yanga v Simba

1-1

WAFUNGAJI:

Yanga: Idelfonce Amlima dk. 16

Simba: Abdallah Msamba sekunde ya. 56

AGOSTI 31, 1997

Yanga v Simba

0-0

OKTOBA 11, 1997

Yanga v Simba

1-1

WAFUNGAJI:

Yanga: Sekilojo Chambua dk. 52

Simba: George Masatu dk. 89

(Mechi hii ilichezwa Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya)

NOVEMBA 8, 1997

Yanga v Simba

1-0

MFUNGAJI: Sekilojo Chambua dk. 85

(Mechi hii ilichezwa Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma)

FEBRUARI 21, 1998

Yanga v Simba

1-1

WAFUNGAJI:

Yanga: Akida Makunda dk. 46

Simba: Athumani Machepe dk. 88

JUNI 7, 1998

Yanga v Simba

1-1

WAFUNGAJI:

Yanga: Idelfonce Amlima dk. 28

Simba: Abuu Juma (penalti) dk. 32

MEI 1, 1999

Yanga v Simba

3-1

WAFUNGAJI:

Yanga: Idd Moshi dk. 59, Kalimangonga Ongala dk. 64, Salvatory Edward dk. 70, Simba: Juma Amir dk. 12.

AGOSTI 29, 1999

Yanga v Simba

2-0

WAFUNGAJI: Bakari Malima dk. 49, Mohamed Hussein 'Mmachinga' dk 71

JUNI 25, 2000

Simba v Yanga

2-1

WAFUNGAJI:

Simba: Steven Mapunda dk. 59 na 72

Yanga: Idd Moshi dk. 4.

AGOSTI 5, 2000

Yanga v Simba

2-0

MFUNGAJI: Iddi Moshi 37 na 47. (Alifunga mabao hayo, akitoka kwenye fungate ya ndoa yake)

SEPTEMBA 1, 2001

Simba v Yanga

1-0

MFUNGAJI: Joseph Kaniki dk. 76

SEPTEMBA 30, 2001

Simba v Yanga

1-1

WAFUNGAJI:

Simba: Joseph Kaniki dk. 65,

Yanga: Sekilojo Chambua dk. 86

(Mechi hii ilichezwa Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza)

AGOSTI 18, 2002

Simba v Yanga

1-1

WAFUNGAJI:

Simba: Madaraka Selemani 65

Yanga: Sekilojo Chambua (penalti). dk. 89

NOVEMBA 10, 2002

Simba v Yanga

0-0

SEPTEMBA 28, 2003

Simba v Yanga

2-2

WAFUNGAJI:

Simba: Emmanuel Gabriel dk. 27 na 36

Yanga: Kudra Omary dk. 42, Heri Morris dk. 55

NOVEMBA 2, 2003

Simba v Yanga

0-0

AGOSTI 7, 2004

Simba v Yanga

2-1

WAFUNGAJI:

Simba: Shaaban Kisiga dk. 64, Ulimboka Mwakingwe dk. 76

Yanga: Pitchou Kongo dk. 48

SEPTEMBA 18, 2004

Simba v Yanga

1-0

MFUNGAJI: Athumani Machuppa dk. 82

APRILI 17, 2005

Simba v Yanga

2-1

WAFUNGAJI:

Simba: Nurdin Msiga dk. 44, Athumani Machupa dk. 64,

Yanga: Aaron Nyanda dk. 39

(Mechi hii ilichezwa Uwanja wa Jamhuri, Morogoro)

AGOSTI 21, 2005

Simba v Yanga

2-0

MFUNGAJI: Nico Nyagawa dk. 22 na 56

(Mechi hii ilichezwa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha)

MACHI 26, 2006

Simba v Yanga.

0-0

OKTOBA 29, 2006

Simba v Yanga

0-0

JULAI 8, 2007

Simba v Yanga

1-1 (dakika 120)

WAFUNGAJI:

Simba: Moses Odhiambo (penalti dk. 2)

Yanga: Said Maulid (dk. 55).

(Simba ilishinda kwa mikwaju ya penalti 5-4 baada ya sare hiyo).

(Mechi hii ilichezwa Uwanja wa Jamhuri, Morogoro)

OKTOBA 24, 2007:

Simba Vs Yanga

1-0

Mfungaji: Ulimboka Mwakingwe

(Mechi hii ilichezwa Uwanja wa Jamhuri, Morogoro)

APRILI 27, 2008:

Simba Vs Yanga

0-0

OKT 26, 2008

Yanga Vs Simba

1-0

MFUNGAJI: Ben Mwalala dk15.

(Mechi hii ilichezwa Uwanja mpya wa Taifa, Dar es Salaam)

APRILI 19, 2009

Simba Vs Yanga

2-2

WAFUNGAJI:

SIMBA: Ramadhan Chombo dk 23, Haruna Moshi dk 62

YANGA: Ben Mwalala dk48, Jerry Tegete dk90

(Mechi hii ilichezwa Uwanja mpya wa Taifa, Dar es Salaam)

(Matokeo haya yanahusu mechi za Ligi ya Bara na iliyokuwa Ligi ya Muungano pekee)

OKTOBA 31, 2009

Simba Vs Yanga

1-0

MFUNGAJI: Mussa Hassan Mgosi dk 26

(Mechi hii ilichezwa Uwanja mpya wa Taifa, Dar es Salaam)

APRILI 18, 2010

Simba Vs Yanga

4-3

WAFUNGAJI:

SIMBA: Uhuru Suleiman dk 3, Mussa Mgosi dk 53 na 74, Hillary Echesa dk 90+

YANGA: Athumani Iddi dk 30, Jerry Tegete dk 69 na 89

KLABU BINGWA AFRIKA MASHARIKI NA KATI:

JANUARI 1975

Yanga Vs Simba; Fainali

2-0

WAFUNGAJI: Gibson Sembuli na Sunday Manara

JANUARI 1992

Simba Vs Yanga; Fainali

1-1

(Simba ilishinda kwa penalti 5-4)

JULAI 27, 2008

Simba Vs Yanga; Mshindi wa Tatu

(Yanga haikutokea uwanjani, Simba ikapewa ushindi wa chee)

KOMBE LA HEDEX:

JUNI 30, 1996

Yanga Vs Simba

2-0

CCM Kirumba, Mwanza

WAFUNGAJI: Bakari Malima na Edibily Lunyamila

JULAI 13, 1996

Simba Vs Yanga

Taifa, Dsm

WAFUNGAJI:

SIMBA Hussein Amaan Marsha kwa penalti

YANGA: Bakari Juma Malima

KOMBE LA TUSKER:

FEBRUARI 10, 2001

Yanga Vs Simba (fainali)

0-0

(Simba ilishinda kwa penalti 5-4, Uwanja wa Taifa)

MACHI 31, 2002.

Simba Vs Yanga 4-1

WAFUNGAJI:

SIMBA: Mark Sirengo dk. 3 na 76, Madaraka Selemani dk. 32 na Emanuel Gabriel dk. 83.

YANGA: Sekilojo Chambua dk 16.

(Mechi hii ya fainali iliyohudhuriwa na rais mstaafu, Ally Hassan Mwinyi, chupuchupu ivunjike dakika ya 32, baada ya Madaraka kufunga bao ambalo kabla ya kufumua shuti lililomshinda kipa Manyika Peter, aliushika mpira kwa makusudi, ili kuuweka sawa. Rais wa Yanga wakati huo, Tarimba Abbas aliinuka na kuwaonyesha ishara wachezaji wake watoke uwanjani na hapo ndipo meza kuu aliyokuwa ameketi mzee Mwinyi, ilipoanza kushambuliwa kwa chupa za maji na mashabiki wa Yanga. Mwamuzi wa mchezo huo, Abdulkadir Omar alisubiri hadi vurugu zilipotulizwa na FFU ndipo akaendeleza mchezo. Tarimba alitoka nje na hakutaka kuendelea kushuhudia mchezo huo. Baada ya hapo, alifungiwa na Chama cha Soka Tanzania, FAT).

JULAI 2, 2005

CCM Kirumba, Mwanza. Fainali

Simba Vs Yanga

2-0

WAFUNGAJI: Emmanuel Gabriel dk. 60, Mussa Hassan Mgosi dk. 72

AGOSTI 15, 2006

Simba Vs Yanga; Nusu Fainali

1-1

WAFUNGAJI:

SIMBA: Emanuel Gabriel dk. 69

YANGA: Credo Mwaipopo 90

(Simba ilishinda kwa mikwaju ya penalty 7-6)

DESEMBA 25, 2009

Yanga Vs Simba; Nusu Fainali

WAFUNGAJI:

YANGA: Jerry Tegete dk 67, Shamte Ally dk 120

SIMBA: Hillary Echesa dk 78 (penalti)

(Uwanja wa mpya wa Taifa)

MECHI ZA KIRAFIKI:

APRILI 20, 2003,

CCM Kirumba, Mwanza

Yanga Vs Simba 3-0

WAFUNGAJI:

Kudra Omary dk. 30, Heri Morris dk 32 na Salum Athumani dk. 47

JANUARI 19, 2003

Simba Vs Yanga 1-1

Taifa, Dsm

WAFUNGAJI:

SIMBA: Jumanne Tondolo dk. 10

YANGA: Mwinyi Rajabu dk. 20

FEBRUARI 17, 2001

NGAO YA HISANI

Yangs Vs Simba 2-1

Taifa, Dsm

WAFUNGAJI:

YANGA: Edibilly Lunyamila dk. 47, AllyYussuf 'Tigana' dk 80.

SIMBA: Steven Mapunda 'Garrincha' dk.43

NOVEMBA 15, 2000

KOMBE LA FAT

Yanga Vs Simba 2-1

Sheikh Amri Abeid, Arusha.

WAFUNGAJI:

YANGA: Aziz Hunter 40 na -Vincent Tendwa

SIMBA: Ally Yussuf 'Tigana' dk.37

NOVEMBA 12, 2000

MARUDIANO KOMBE LA FAT

Simba Vs Yanga 1-0

Taifa, Dsm

MFUNGAJI:

SIMBA: Ben Luoga dk.44

(Matokeo ya jumla yakawa 2-2 na Yanga ikatolewa kwa mikwaju ya penalti 5-4)

Imetayarishwa na mwandishi mwandamizi wa michezo Mahmoud Zubeiry


No comments:

Post a Comment