
Wadau wakibarizi Nyumbani

Ilikuwa ni furaha tupu

Jide na wadau

Gadna na wadau

Gadna, Muddy na Ankal wakiwakilisha Bwawa la Maini

Wakali wa Hip Hop wakiwa Nyumbani

Wadau wa Arusha ndani ya Nyumba

Master J na Jaffarai wakiwakilisha

Lady Jay Dee na Machozi Band wakifanya vitu vyao usiku huu katika uzinduzi wa kiota kipya kabisa cha Nyumbani Lounge kilichopo Namanga,ubavuni mwa Best Bite.

Machozi Band na Lady Jay Dee wakikamua usiku huu.
No comments:
Post a Comment