Wednesday 26 October 2011

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA KATIBA, SHERIA NA UTAWALA RATIBA YA KAZI KUANZIA TAREHE 24 /10/ 2011 HADI 04/11/2011

UKUMBI:  DAR ES SALAAM INTERNATIONAL CONFERENCE CENTRE-DICC
GHOROFA YA 5, JENGO LA PPF-TOWER
UKUMBI WA JOMO KENYATA.

TAREHE / SIKU

SHUGHULI
 MHUSIKA
JUMAPILI
23/10/2011
·      Wajumbe kuwasili  Dar es Salaam
·      Katibu wa Bunge
·      Wajumbe
JUMATATU
24/10/2011
·      Shughuli za Kiutawala  
·      Kupitia Ratiba ya Kamati
·      Wajumbe
·      Sekretarieti 
JUMANNE
25/10/2011
·      Kamati kukutana na Waziri  wa  Katiba na Sheria  na Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
·     Wajumbe

·      Waziri wa  Katiba na Sheria
JUMATANO
26/10/2011

·         Kamati kukutana na APRM
    Wajumbe


ALHAMISI
27/10/2011


·         Kamati  kutembelea  TACAIDS
·      Wajumbe


·     Waziri wa Nchi,
     Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Uratibu na Bunge


IJUMAA
28/10/2011
·        Kamati kutembelea    Shirika la Elimu Kibaha
    Wajumbe


·     Ofisi ya Waziri Mkuu
TAMISEMI


JUMAMOSI
29/10/2011
·        Kukutana na  Kitengo cha Sheria na haki za Binadamu
·      Wajumbe

·      Ofisi ya Bunge
       JUMAPILI
30/10/2011
·        MAPUMZIKO
·     WOTE
JUMATATU
       01/11/2011


·         Kamati  kutembele aIdara ya  mahakama
·         Kamati kutembelea Mahakama ya ardhi
  Wajumbe

·     Waziri wa Katiba
na Sheria

JUMANNE
02/11/201
·        Kamati kutembelea mradi wa mabasi yaendayo kasi-DART
·        Wajumbe

·        Waziri wa Nchi,
       Ofisi ya WM-TAMISEMI
JUMATANO
03/11/2011

Kamati kutembelea ofisi ya Msajili wa Vyama vya siasa



    Wajumbe

·        Waziri wa Nchi,
Ofisi ya WM-Sera,Uratibu na Bunge

ALHAMISI
04/11/2011

·        Kamat i kutembelea  Tume ya Uchaguzi
·      Wajumbe

·          Waziri wa Nchi,
Ofisi ya WM-Sera,Uratibu na Bunge


IJUMAAA
05/11/2011

·        MAJUMUISHO

·      Wajumbe
JUMAMOSI NA JUMAPILI
06-07/11/2011
Wajumbe kuelekea Dodoma
Ofisi ya Bunge


ANGALIZO;
Endapo kamati itakabidhiwa mswada  wowote,ratiba itabadilika .
Shughuli za Kamati zinaanza saa 3.00 asubuhi.


No comments:

Post a Comment