Wednesday 26 October 2011

RATIBA YA KAZI ZA KAMATI YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI (PAC) KUANZIA TAREHE 11/10/2011 HADI TAREHE 05/11/2011KUJADILI HESABU ZILIZOKAGULIWA ZA MAFUNGU MBALIMBALI KWA HESABU ZILIZOISHIA JUNI 30, 2010

UKUMBI NAMBA 113: OFISI NDOGO YA BUNGE DAR ES SALAAM
__________­­­_______________________

NA.
SIKU
SHUGHULI
MHUSIKA

1.

Jumanne
11 Oktoba 2011

Waheshimiwa Wabunge kuwasili Morogoro

CAG/Sekretarieti


2.


Jumatano-Ijumaa
12-14 Oktoba 2011

Semina kuhusu ukaguzi wa thamani

CCAP/CAG

3.


Jumamosi
15 Oktoba 2011

Kukagua miradi inayotekelezwa na RAS Morogoro

RAS Morogoro

4.

Jumapili
16 Oktoba 2011

Kuelekea Dar es Salaam



RAS/Sekretarieti

5.

Jumatatu
17 Oktoba 2011

Kamati kupata maelezo kuhusu kaguzi za thamani ambazo zimefanyika:
  • Ukaguzi wa thamani katika sekta ya elimu
  • Ukaguzi wa thamani katika sekta ya Afya
  • Ukaguzi wa thamani wa miradi ya barabara

CAG/Wajumbe/Sekretarieti

6.

Jumanne
18 Oktoba 2011

Kamati kujadili taarifa ya ukaguzi wa thamani katika sekta ya Afya

Afisa Masuuli Fungu 52/CAG/Wajumbe


7.

Jumatano
19 Oktoba 2011

Kamati kujadili taarifa ya ukaguzi wa thamani katika sekta ya elimu

Afisa Masuuli Fungu 46/CAG/Wajumbe


8.

Alhamisi
20 Oktoba 2011

Kamati kujadili taarifa ya ukaguzi wa
thamani katika miradi ya barabara

Afisa Masuuli Fungu
98/CAG/Wajumbe


9.

Ijumaa
21 Oktoba 2011

Fungu la 18 - Mahakama Kuu
Fungu la 40 - Mahakama ya Rufaa


CAG/Afisa Masuuli/AcGen/DGAM

10.

Jumamosi na Jumapili

MAPUMZIKO

Wote



11.

Jumatatu
24 Oktoba 2011

Fungu la 48 – Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi

Afisa Masuuli/CAG/
AcGen/Wajumbe/
Sekretarieti


12.

Jumanne
25 Oktoba 2011

Fungu la 44 – Wizara ya Viwanda na Biashara

Afisa Masuuli/CAG/
AcGen/Wajumbe/
Sekretarieti


13.

Jumatano
26 Oktoba 2011

Fungu la 42 – Mfuko wa Bunge

Afisa Masuuli/CAG/
DGAM/AcGen/Wajumbe/
Sekretariet


14.

Alhamisi
27 Oktoba 2011

Fungu la 29 – Idara ya Magereza
Fungu la 14 -  Idara ya Zimamoto

Afisa Masuuli/CAG/
DGAM/AcGen/Wajumbe/
Sekretarieti


15.

Ijumaa
28 Oktoba 2011

Fungu la 16 – Mwanasheria Mkuu wa Serikali
Fungu la 41 -  Wizara ya Sheria na Katiba

Afisa Masuuli/CAG/
DGAM/AcGen/Wajumbe/
Sekretarieti

16.
Jumamosi na Jumapili
MAPUMZIKO
Wote

17.

Jumatatu
31 Oktoba 2011

Fungu la 56 - TAMISEMI

Afisa Masuuli/CAG/
DGAM/AcGen/Wajumbe/
Sekretarieti


18.

Jumanne
01 Novemba 2011

Fungu la 38 – Ngome

Afisa Masuuli/CAG/
DGAM/AcGen/Wajumbe/
Sekretarieti


19.

Jumatano
02 Novemba 2011

Fungu la 39 – Jeshi la Kujenga Taifa

Afisa Masuuli/CAG/
DGAM/AcGen/Wajumbe/
Sekretarieti


20.

Alhamisi
03 Novemba 2011

Fungu la 57 – Wizara ya Ulinzi na JKT

Afisa Masuuli/CAG/
DGAM/AcGen/Wajumbe/
Sekretarieti


21.

Ijumaa
04 Novemba 2011

Fungu la 68 -  Wizara ya Elimu ya Juu, Sayansi na Teknolojia

Afisa Masuuli/CAG/
DGAM/AcGen/Wajumbe/
Sekretarieti


22.

Jumamosi
05 Novemba 2011

Wajumbe kuelekea Dodoma

Katibu wa Bunge


TANBIHI: 

·         Vikao vyote vya asubuhi vitaanza saa 3:00 Asubuhi.
·         Mapumziko ya Chai ni Saa 5:00 Asubuhi.
·         Maafisa masuuli waepuke kuambatana na maafisa ambao hawatasaidia katika kujibu hoja.
·         Vitabu viifikie Kamati siku 3 kabla ya siku ya kikao.

No comments:

Post a Comment