Sunday 27 November 2011

MKUTANO WA KIHISTORIA KATI YA RAIS KIKWETE NA UONGOZI WA CHADEMA IKULU DAR ES SALAAM LEO NOVEMBA 27, 2011

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisikiliza maelezo toka kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Mh. Freeman Mbowe baada ya kupokea  mapendekezo ya chama hicho juu ya kuundwa katiba mpya yatayozungumzwa kwenye mkutano huo wa kihistoria uliofanyika leo Ikulu jijini Dar es salaam
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na uongozi wa CHADEMA katika mkutano huo wa kihistoria
 Mkutano ukiendelea 
 Rais Jakaya Kikwete akiongea na uongozi wa CHADEMA (kushoto) pamoja na ujumbe wa Serikali (kulia)
 Mh. Tundu Lissu akikoroga chai baada ya mkutano huku Profesa Baregu naye akijiandaa kujisevia
 Rais Jakaya Kikwete akimpa juisi Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Freeman Mbowe baada ya mkutano
 Rais Jakaya Kikwete akiongea na wageni wake kwa bashasha baada ya mkutano
 Rais Kikwete na wageni wake wakilegeza makoo baada ya masaa mawili na nusu ya mkutano
 Rais Jakaya Kikwete akiongea na wageni wake
 Furaha ilitawala baada ya kumalizika kwa mkutano na wageni kuinuka na kuaga
 "....Asante sana Mh Rais kwa kukubali mwaliko wetu..." anasema Mh Freeman Mbowe wakati akiaga
 Mh Arfi akiaga
 Kaimu Katibu Mkuu Mh John Mnyika akiaga. Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt Wilbroad Slaa alitoa udhuru kuwa unauguliwa hivyo hakuweza kufika
 Mh Mrema akiaga
 Kwaheri Mheshimiwa na asante kwa kutukaribisha Ikulu...
 Profesa Mwesiga Baregu akiaga
 Profesa Abdallah Safari akiaga
 Mh Tundu Lissu akiaga
Mh Tundu Lissu akiondola Ikulu taratibu baada ya mkutano huku gari iliyombeba mwenyekiti wa CHADEMA ikiondoka pia...

No comments:

Post a Comment