Wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Kimataifa ya Hazina, wakionyesha umahiri wao wa kucheza Sarakasi wakati wa sherehe za Maadhimisho ya Miaka 47 ya Muungano zilizofanyika kwenye Uwanja wa Amani Mjini Zanzibar keo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili na Mkuu wa Majeshi Jenerali Davies Mwamunyange


No comments:
Post a Comment