![]() |
| Aliyekuwa rafiki mpendwa wa Marehemu,Mpoki Bukuku akiweka shada la maua. |
![]() |
| Muwakilishi wa Jeshi (JWTZ) kutoka Lugalo akiweka shada la maua. |
![]() |
| Mhariri mtendaji wa Tanzania Daima na Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri ambaye pia alikuwa rafiki wa karibu wa marehemu Danny,Absalom Kibanda akiweka shada la maua. |
![]() |
| Mhariri Mtendaji wa New Habari, Deodatus Balile akiweka shada la maua. |
![]() |
| Mwili wa marefemu ukifunikwa mara baada ya kuwekwa kaburini. |
![]() |
| Mwili wa marehemu ukishushwa kaburini. |
![]() |
| Familia ya Marehemu Danny ikitoa heshima zake za mwisho jioni ya leo kabla ya kufanyika mazishi. |
![]() |
| Baadhi ya Waandishi wa habari kutoka New habari wakitoa heshima zao mwisho mbele ya Mwili wa marehemu. |
![]() |
| Mhariri mtendaji wa Tanzania Daima na Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri ambaye pia alikuwa rafiki wa karibu wa marehemu Danny,Absalom Kibanda akisoma risala fupi. |
![]() |
| Mhariri Mtendaji wa New Habari, Deodatus Balile akizungumza maneno machache juu ya Marehemu Danny ndani ya umati mkubwa uliofika kanisani hapo jioni ya leo. |
![]() |
| Meneja Mawasiliano ya ndani wa Serengeti Breweries (SBL) Iman Lwinga (kushoto) na Mkurugenzi wa Habari wa Bunge, Jose Mwakasukwa nao walishiriki. |








































No comments:
Post a Comment